15 September 2020 Siku ya Ozoni Duniani ya Mwaka wa 2020 – Ozoni milele!

Kutokana na ushirikiano wa kimataifa, mwaka huu tunaadhimisha miaka 35 ya Mkataba wa Vienna  na miaka 35 ya kutunza tambiko la ozoni.

视频

Septemba 16, ni Siku ya Ozoni Duniani. Kutokana na ushirikiano wa kimataifa, mwaka huu tunaadhimisha miaka 35 ya Mkataba wa Vienna  na miaka 35 ya kutunza tambiko la ozoni.

 Siku ya Ozoni Duniani inaonyesha maamuzi yanayochukuliwa kwa ushirikiano huku yakiongozwa na sayansi, ndiyo njia ya pekee ya kusuluhisha majanga makuu duniani.

 

Utangulizi:

Mnamo mwaka wa 1985, serikali ulimwenguni ziliidhinisha Mkataba wa Vienna  wa Kutunza Tambiko la Ozoni. Kwenye Protokali ya Montreal  Chini ya mkataba huo, serikali, wanasayansi na wamiliki wa viwanda walishirikiana kupunguza matumizi ya vitu vinavyoathiri ozoni kwa asilimia 99. Kutokana na Mkataba wa Vienna , tambiko la ozoni linaendelea kuimarika na linatarajiwa kurudi kama lilivyokuwa kabla ya miaka ya 1980 kufikia katikati mwa karne. Ili kuunga Protokali hiyo mkono, Marekebisho ya Kigali, ya mwaka wa 2019, yanalenga kupunguza hydrofluorocarbon (HFCs), gesi ya ukaa iliyo na uwezekano mkubwa wa kuongeza kiwango cha joto duniani na kuharibu mazingira.

最新帖子
故事

在国际清洁空气蓝天日到来之际,让我们一同了解空气污染的成因、对人类的影响以及全球应对之策。

新闻稿

一个识别重大甲烷泄漏的高科技系统在过去两年内向各国政府和企业发送了1200份通知,但根据联合国环境规划署(环境署)的最新数据,只有1%的通知得到了响应。